

Mbunge wa Wawi - Chake chake Pemba - (CUF) na kiongozi wa kambi ya upinzani katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Hamad Rashid Mohamed, akimpa zawadi Spika wa Bunge la Canada, Bw. Peter Milliken, mjini Ottawa. Mhe. Hamad Rashid Mohamed yupo ziarani Canada kwa ziara ya kikazi
Sunday, April 18, 2010
Mh. Hamad Rashid Mohamed Ziarani Canada
2:22 AM
No comments






0 comments:
Post a Comment