Sunday, April 18, 2010

Paul Scholes kept Manchester United's Premier League




Paul Scholes kept Manchester United's Premier League title hopes alive as his dramatic winner seconds from the end sunk Manchester City at Eastlands. More from BBC Sport
CLICK HERE

NDIO HIVYO TENA - MAN U HAWAKUAMINI KUPATA USHINDI JANA KATIKA SEKUNDE ZA MWISHO DHIDI YA MAN CITY. HUYO JAMAA SI MNAMJUWA HAPO JUU - AKISHINDA INAKUWA HAPAKALIKI MTAANI. UNAAMBIWA KOPA KWA MTAJIRI MPATA ZAMANI USIKOPE KWA MTAJIRI MPATA LEO. HAO WALIOANZA KUCHUKUWA UBINGWA KWENYE 1990s tokea 1965 SI MNAWAJUWA INAKUWA KAMA LIMBUKENI.
- MDAU OMAN.

0 comments:

Post a Comment